Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya duniaIli wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+ Zekaria 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+
6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya duniaIli wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+
15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+