Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 48:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana amejikweza dhidi ya Yehova.+

      Moabu anagaagaa katika matapishi yake,

      Naye ni kitu cha kudhihakiwa.

  • Yeremia 48:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Tumesikia kuhusu kiburi cha Moabu—ana majivuno sana—

      Kuhusu kujisifu kwake, kiburi chake, majivuno yake, na jinsi moyo wake ulivyotutumuka.”+

  • Sefania 2:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,

      “Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+

      Watu wangu waliobaki watawapora,

      Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.

      10 Hayo ndiyo watakayopata badala ya kiburi chao,+

      Kwa sababu waliwadhihaki na kujikweza dhidi ya watu wa Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki