Isaya 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tangazo kuhusu Tiro:+ Ombolezeni kwa sauti, enyi meli za Tarshishi!+ Kwa maana bandari imeharibiwa; haiwezi kuingiwa. Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+ Ezekieli 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitakufanya uwe jiwe lililo wazi, linalong’aa, nawe utakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokotwa.+ Hutajengwa tena kamwe, kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Ezekieli 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nao watakuimbia wimbo wa huzuni*+ na kukuambia: “Jinsi ulivyoangamia,+ wewe uliyekuwa na wakaaji kutoka baharini, jiji lililosifiwa; Wewe na wakaaji wako mlikuwa wenye nguvu baharini,+ Ukieneza hofu kwa wakaaji wote wa dunia!
23 Tangazo kuhusu Tiro:+ Ombolezeni kwa sauti, enyi meli za Tarshishi!+ Kwa maana bandari imeharibiwa; haiwezi kuingiwa. Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+
14 Nami nitakufanya uwe jiwe lililo wazi, linalong’aa, nawe utakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokotwa.+ Hutajengwa tena kamwe, kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
17 Nao watakuimbia wimbo wa huzuni*+ na kukuambia: “Jinsi ulivyoangamia,+ wewe uliyekuwa na wakaaji kutoka baharini, jiji lililosifiwa; Wewe na wakaaji wako mlikuwa wenye nguvu baharini,+ Ukieneza hofu kwa wakaaji wote wa dunia!