54 Lakini huu unaoweza kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo neno hili lililoandikwa litakapotimia: “Kifo kimemezwa milele.”+
10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ ambaye amefuta kifo+ na kuangaza nuru juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+