Yeremia 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+ Hosea 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watu wangu wana mwelekeo wa kutokuwa waaminifu kwangu.+ Ingawa waliwaita wapande juu,* hakuna yeyote anayeinuka.
7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+
7 Watu wangu wana mwelekeo wa kutokuwa waaminifu kwangu.+ Ingawa waliwaita wapande juu,* hakuna yeyote anayeinuka.