Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yalikuwa katika msukosuko, falme zilipinduliwa;Alipaza sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Isaya 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, shoka litajikweza juu ya yule anayelitumia kukata? Je, msumeno utajikweza juu ya yule anayeutumia kukata? Je, gongo+ linaweza kumtikisa yule anayeliinua? Au je, fimbo inaweza kumwinua yule ambaye hajatengenezwa kwa mbao? Isaya 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Umemdhihaki+ na kumkufuru nani? Umepaza sauti yako dhidi ya nani+Na kuinua macho yako yenye kiburi? Ni dhidi ya Mtakatifu wa Israeli!+
15 Je, shoka litajikweza juu ya yule anayelitumia kukata? Je, msumeno utajikweza juu ya yule anayeutumia kukata? Je, gongo+ linaweza kumtikisa yule anayeliinua? Au je, fimbo inaweza kumwinua yule ambaye hajatengenezwa kwa mbao?
23 Umemdhihaki+ na kumkufuru nani? Umepaza sauti yako dhidi ya nani+Na kuinua macho yako yenye kiburi? Ni dhidi ya Mtakatifu wa Israeli!+