23 Watu wote nchini walikuwa wakilia kwa sauti kubwa watu hao wote walipokuwa wakivuka ng’ambo ile nyingine, naye mfalme alikuwa amesimama kando ya Bonde la Kidroni;+ watu wote walivuka na kufuata barabara inayoelekea nyikani.
6 Akauondoa mti mtakatifu*+ katika nyumba ya Yehova na kuupeleka nje ya Yerusalemu, katika Bonde la Kidroni, akauteketeza+ katika Bonde la Kidroni, akausaga mpaka ukawa mavumbi na kuyatawanya mavumbi hayo juu ya makaburi ya watu wa kawaida.+
18Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+