Yeremia 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amezuiliwa katika Ua wa Walinzi,+ na kusema: Yeremia 37:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi. Yeremia 38:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mpaka siku ambayo Yerusalemu lilitekwa, Yeremia alikaa katika Ua wa Walinzi;+ bado alikuwa humo Yerusalemu lilipotekwa.+
33 Neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amezuiliwa katika Ua wa Walinzi,+ na kusema:
21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.
28 Mpaka siku ambayo Yerusalemu lilitekwa, Yeremia alikaa katika Ua wa Walinzi;+ bado alikuwa humo Yerusalemu lilipotekwa.+