Mwanzo 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha wakaketi chini ili wale chakula. Walipoinua macho yao, waliona msafara wa Waishmaeli+ ukija kutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwa wamebeba gundi ya labdanamu, zeri, na magome yenye utomvu,+ nao walikuwa wakiteremka kwenda Misri. Yeremia 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, hakuna zeri* kule Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji* huko?+ Kwa nini binti ya watu wangu hajaponywa?+
25 Kisha wakaketi chini ili wale chakula. Walipoinua macho yao, waliona msafara wa Waishmaeli+ ukija kutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwa wamebeba gundi ya labdanamu, zeri, na magome yenye utomvu,+ nao walikuwa wakiteremka kwenda Misri.
22 Je, hakuna zeri* kule Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji* huko?+ Kwa nini binti ya watu wangu hajaponywa?+