-
Yeremia 50:44-46Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 “Tazama! Kama simba anayetoka kwenye vichaka vikubwa kando ya Yordani, mtu fulani atayashambulia malisho yaliyo salama, lakini kwa muda mfupi nitawafanya Waedomu wakimbie kutoka nchini. Nami nitaweka juu ya nchi hiyo yule aliyechaguliwa.+ Kwa maana ni nani aliye kama mimi, na ni nani atakayenipinga? Ni mchungaji gani anayeweza kusimama mbele zangu?+ 45 Kwa hiyo sikieni, enyi watu, uamuzi ambao* Yehova amefanya dhidi ya Babiloni+ na mawazo yake dhidi ya nchi ya Wakaldayo.
Hakika walio wadogo katika kundi watakokotwa.
Atayafanya makao yao yabaki ukiwa kwa sababu yao.+
-