Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 76:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ni wewe peke yako unayeogopesha.+

      Na ni nani anayeweza kustahimili hasira yako kali?+

  • Yeremia 50:44-46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Tazama! Kama simba anayetoka kwenye vichaka vikubwa kando ya Yordani, mtu fulani atayashambulia malisho yaliyo salama, lakini kwa muda mfupi nitawafanya Waedomu wakimbie kutoka nchini. Nami nitaweka juu ya nchi hiyo yule aliyechaguliwa.+ Kwa maana ni nani aliye kama mimi, na ni nani atakayenipinga? Ni mchungaji gani anayeweza kusimama mbele zangu?+ 45 Kwa hiyo sikieni, enyi watu, uamuzi ambao* Yehova amefanya dhidi ya Babiloni+ na mawazo yake dhidi ya nchi ya Wakaldayo.

      Hakika walio wadogo katika kundi watakokotwa.

      Atayafanya makao yao yabaki ukiwa kwa sababu yao.+

      46 Sauti ya kutekwa kwa Babiloni itafanya dunia itetemeke,

      Na kilio kitasikika kati ya mataifa.”+

  • Nahumu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+

      Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+

      Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,

      Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki