Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndiyo maana nitazifanya mbingu zitetemeke

      Na dunia itatikiswa itoke mahali pake+

      Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova wa majeshi katika siku ya hasira yake inayowaka.

  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+

      Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+

      Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+

  • Yeremia 50:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova hatakaliwa;+

      Atakuwa ukiwa kabisa.+

      Yeyote anayepita kando ya Babiloni atatazama kwa hofu

      Na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+

  • Yeremia 50:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo, viumbe wa jangwani watakaa pamoja na wanyama wanaopiga mayowe,

      Na mbuni watakaa ndani yake.+

      Hakutakuwa na wakaaji tena ndani yake,

      Wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.”+

      40 “Kama Mungu alivyoangamiza Sodoma na Gomora+ na miji jirani,”+ asema Yehova, “hakuna mtu atakayekaa huko, na hakuna mtu atakayeishi huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki