Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nitaleta dhidi yenu upanga unaolipiza kisasi kwa sababu ya kulivunja agano langu.+ Hata mkikusanyika katika majiji yenu, nitaleta magonjwa katikati yenu+ na kuwatia mikononi mwa adui.+

  • Yeremia 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 “Je, sipaswi kuwafanya wawajibike kwa sababu ya mambo haya?” asema Yehova.

      “Je, sipaswi* kujilipizia kisasi dhidi ya taifa kama hili?+

  • Yeremia 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mwishowe Yehova hangeweza tena kuvumilia matendo yenu maovu na mambo yenye kuchukiza mliyokuwa mmefanya, nayo nchi yenu ikawa ukiwa, kitu cha kutisha na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo.+

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;

      Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+

      Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,

      Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki