25 Nitaleta dhidi yenu upanga unaolipiza kisasi kwa sababu ya kulivunja agano langu.+ Hata mkikusanyika katika majiji yenu, nitaleta magonjwa katikati yenu+ na kuwatia mikononi mwa adui.+
22 Mwishowe Yehova hangeweza tena kuvumilia matendo yenu maovu na mambo yenye kuchukiza mliyokuwa mmefanya, nayo nchi yenu ikawa ukiwa, kitu cha kutisha na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo.+