Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ndipo akasema, “Nenda, uwaambie hivi watu hawa:

      ‘Mtasikia tena na tena,

      Lakini hamtaelewa;

      Mtaona tena na tena,

      Lakini hamtapata ujuzi wowote.’+

  • Ezekieli 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, unaishi katika nyumba ya uasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni, na masikio ya kusikia, lakini hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi.+

  • Mathayo 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndiyo maana ninazungumza nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki