Yeremia 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalmeKwenye malango ya Yerusalemu,+Dhidi ya kuta zake pande zoteNa dhidi ya majiji yote ya Yuda.+ Yeremia 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Inueni ishara* kuelekea Sayuni. Tafuteni kimbilio, na msisimame tuli,” Kwa maana ninaleta msiba kutoka kaskazini,+ kishindo kikubwa. Yeremia 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova anasema hivi: “Tazama! Watu wanakuja kutoka nchi ya kaskazini,Na taifa kubwa litaamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya duniaIli wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+
15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalmeKwenye malango ya Yerusalemu,+Dhidi ya kuta zake pande zoteNa dhidi ya majiji yote ya Yuda.+
6 Inueni ishara* kuelekea Sayuni. Tafuteni kimbilio, na msisimame tuli,” Kwa maana ninaleta msiba kutoka kaskazini,+ kishindo kikubwa.
22 Yehova anasema hivi: “Tazama! Watu wanakuja kutoka nchi ya kaskazini,Na taifa kubwa litaamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+
6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya duniaIli wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+