Mwanzo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kulingana na asili za koo zao: Nebayothi+ mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ Zaburi 120:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mgeni Mesheki!+ Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+ Yeremia 49:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi: “Inukeni, pandeni mwende Kedari,Na muwaangamize wana wa Mashariki.
13 Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kulingana na asili za koo zao: Nebayothi+ mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+
28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi: “Inukeni, pandeni mwende Kedari,Na muwaangamize wana wa Mashariki.