Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kulingana na asili za koo zao: Nebayothi+ mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+

  • Zaburi 120:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mgeni Mesheki!+

      Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+

  • Yeremia 49:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi:

      “Inukeni, pandeni mwende Kedari,

      Na muwaangamize wana wa Mashariki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki