7 Wakati wowote nitakaposema kuhusu kung’oa na kubomoa na kuharibu taifa au ufalme,+8 na taifa hilo liache uovu wake niliotangaza dhidi yake, mimi pia nitabadili nia yangu* kuhusu msiba niliokusudia kuuleta dhidi yake.+
3 Labda watu wa nyumba ya Yuda watakaposikia kuhusu msiba wote ninaokusudia kuwaletea, wataziacha njia zao za uovu, ili niwasamehe kosa lao na dhambi yao.”+