Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+

  • Yeremia 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova anasema hivi dhidi ya majirani wangu wote waovu, wanaogusa urithi niliowamilikisha watu wangu Waisraeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka kwenye nchi yao,+ nami nitawang’oa watu wa nyumba ya Yuda kutoka kati yao.

  • Yeremia 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ninaziita familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “ninamwita Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta dhidi ya nchi hii+ na dhidi ya wakaaji wake na dhidi ya mataifa haya yote yanayozunguka.+ Nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi na magofu ya kudumu.

  • Yeremia 45:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Mwambie, ‘Yehova anasema hivi: “Tazama! Kile ambacho nimekijenga ninakibomoa, na kile nilichokipanda ninaking’oa—nchi yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki