Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Je, unaweza kumwindia simba mawindo

      Au kutosheleza hamu ya chakula ya wanasimba+

      40 Wanapojikunyata katika maficho yao

      Au wanaponyemelea mapangoni mwao?

  • Hosea 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana nitakuwa kama mwanasimba kwa Waefraimu,

      Na kama simba mwenye nguvu* kwa nyumba ya Yuda.

      Mimi mwenyewe nitawararua vipandevipande na kwenda zangu;+

      Nitawabeba na kwenda nao, na hakuna yeyote atakayewaokoa.+

  • Amosi 5:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+

      Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+

      Itakuwa giza, wala si nuru.+

      19 Itakuwa kama mtu anayemkimbia simba, kisha anakutana na dubu,

      Na anapoingia nyumbani mwake na kuuegemeza mkono wake ukutani, anaumwa na nyoka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki