18 ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+
Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+
Itakuwa giza, wala si nuru.+
19 Itakuwa kama mtu anayemkimbia simba, kisha anakutana na dubu,
Na anapoingia nyumbani mwake na kuuegemeza mkono wake ukutani, anaumwa na nyoka.