“‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele.
37 Yehova anasema hivi: “‘Ikiwa mbingu zilizo juu zinaweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini kuchunguzwa, basi ninaweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’ asema Yehova.”+
40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu milele,+ kwamba sitaacha kuwatendea mema;+ nami nitatia hofu yangu katika mioyo yao, hivi kwamba hawataniacha.+