64 “Yehova atawatawanya miongoni mwa mataifa yote, kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko mtalazimika kuabudu miungu ya miti na mawe, ambayo wala ninyi wala mababu zenu hamwijui.+
9 Nitawafanya wawe kitu cha kutisha na msiba kwa falme zote za dunia,+ shutuma, methali, kitu cha kudhihakiwa, na laana+ kila mahali nitakapowatawanya.+