Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kimbieni, geukeni!

      Nendeni mkakae katika sehemu za chini zenye kina, enyi wakaaji wa Dedani!+

      Kwa maana nitamletea Esau msiba

      Wakati wangu wa kumkazia fikira utakapofika.

  • Maombolezo 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Adhabu ya dhambi yako, Ee binti ya Sayuni, imekwisha.

      Hatakupeleka tena uhamishoni.+

      Lakini ataukazia uangalifu uovu wako, Ee binti ya Edomu.

      Atafunua dhambi zako.+

  • Ezekieli 25:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu watu wa Moabu+ na Seiri+ wamesema, “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,” 9 ninauacha wazi mpaka* wa Moabu kwenye majiji yake ya mpakani, uzuri wa* nchi yake, Beth-yeshimothi, Baal-meoni, hadi Kiriathaimu.+

  • Obadia 1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono ya Obadia:*

      Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi kuhusu Edomu:+

      “Tumesikia habari kutoka kwa Yehova,

      Mjumbe ametumwa kati ya mataifa:

      ‘Inukeni, tujitayarishe kupigana na Edomu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki