Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kumbuka dhihaka za adui, Ee Yehova,

      Jinsi taifa pumbavu linavyodharau jina lako.+

  • Isaya 48:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Lakini kwa sababu ya jina langu nitaizuia hasira yangu;+

      Kwa ajili ya sifa yangu mwenyewe nitajizuia,

      Nami sitakuangamiza.+

  • Ezekieli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu ili lisichafuliwe mbele ya mataifa ambamo waliishi.+ Nilijijulisha kwao* mbele ya mataifa hayo nilipowatoa* nchini Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki