Zaburi 74:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kumbuka dhihaka za adui, Ee Yehova,Jinsi taifa pumbavu linavyodharau jina lako.+ Isaya 48:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kwa sababu ya jina langu nitaizuia hasira yangu;+Kwa ajili ya sifa yangu mwenyewe nitajizuia,Nami sitakuangamiza.+ Ezekieli 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu ili lisichafuliwe mbele ya mataifa ambamo waliishi.+ Nilijijulisha kwao* mbele ya mataifa hayo nilipowatoa* nchini Misri.+
9 Lakini kwa sababu ya jina langu nitaizuia hasira yangu;+Kwa ajili ya sifa yangu mwenyewe nitajizuia,Nami sitakuangamiza.+
9 Lakini nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu ili lisichafuliwe mbele ya mataifa ambamo waliishi.+ Nilijijulisha kwao* mbele ya mataifa hayo nilipowatoa* nchini Misri.+