Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+ 7 Watatimiza wajibu wao wa kumtumikia na kuwatumikia Waisraeli wote mbele ya hema la mkutano kwa kufanya kazi za hema la ibada. 8 Watatunza vyombo vyote+ vya hema la mkutano na kutimiza wajibu wao wa kuwatumikia Waisraeli kwa kufanya kazi za hema la ibada.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wote waliochaguliwa kuwa walinzi kwenye vizingiti walikuwa 212. Waliishi katika vijiji vyao kulingana na orodha ya ukoo wao.+ Daudi na Samweli yule mwonaji+ waliwaweka katika wadhifa wa kuaminiwa. 23 Watu hao pamoja na wana wao walisimamia utumishi wa ulinzi wa malango ya nyumba ya Yehova,+ nyumba ya hema.

  • Zaburi 134:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 134 Msifuni Yehova,

      Enyi nyote watumishi wa Yehova,+

      Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki