Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waagize Waisraeli wawape Walawi majiji ya kuishi kutoka katika urithi watakaomiliki,+ nao wanapaswa kuwapa Walawi malisho yanayozunguka majiji hayo.+

  • Ezekieli 45:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kutoka katika kipimo hicho utapima urefu wa 25,000 na upana wa 10,000, na ndani yake kutakuwa na mahali patakatifu, kitu kitakatifu kabisa. 4 Litakuwa sehemu takatifu ya nchi kwa ajili ya makuhani,+ wahudumu wa mahali patakatifu, wanaokaribia ili kumhudumia Yehova.+ Patakuwa mahali kwa ajili ya nyumba zao, na mahali patakatifu kwa ajili ya patakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki