Yeremia 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakati huo wataliita Yerusalemu kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yatakusanywa pamoja kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena kwa ukaidi moyo wao mwovu.” Yoeli 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Damu yao niliyoiona kuwa na hatia nitaiona kuwa isiyo na hatia;+Na Yehova atakaa Sayuni.”+ Zekaria 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova.
17 Wakati huo wataliita Yerusalemu kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yatakusanywa pamoja kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena kwa ukaidi moyo wao mwovu.”
10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova.