18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,
Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+
Hutaendelea kuwa na hasira milele,
Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
19 Utatuonyesha tena rehema;+ utazishinda dhambi zetu.
Utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.+