Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehova atakapoosha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwagaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,*+

  • Ezekieli 36:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawatakasa kutokana na uchafu wenu+ wote na kutokana na sanamu zenu zote zinazochukiza.+

  • Mika 7:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,

      Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+

      Hutaendelea kuwa na hasira milele,

      Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+

      19 Utatuonyesha tena rehema;+ utazishinda* dhambi zetu.

      Utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki