Yeremia 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mahali hapa, katika siku zenu na mbele ya macho yenu wenyewe, nitazikomesha sauti za furaha na shangwe, sauti ya bwana harusi na sauti ya bibi harusi.’+ Habakuki 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazameni miongoni mwa mataifa, kazeni uangalifu! Tazameni kwa mshangao na kustaajabu;Kwa maana jambo fulani litatukia katika siku zenuAmbalo hamtaamini hata mkiambiwa.+
9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mahali hapa, katika siku zenu na mbele ya macho yenu wenyewe, nitazikomesha sauti za furaha na shangwe, sauti ya bwana harusi na sauti ya bibi harusi.’+
5 “Tazameni miongoni mwa mataifa, kazeni uangalifu! Tazameni kwa mshangao na kustaajabu;Kwa maana jambo fulani litatukia katika siku zenuAmbalo hamtaamini hata mkiambiwa.+