Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:103
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 103 Jinsi maneno yako yalivyo matamu kwenye kaakaa langu,

      Kuliko asali kinywani mwangu!+

  • Yeremia 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+

      Na neno lako likawa furaha na shangwe ya moyo wangu,

      Kwa maana nimeitwa kwa jina lako, Ee Yehova Mungu wa majeshi.

  • Ufunuo 10:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nikaenda kwa yule malaika na kumwambia anipe kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Akaniambia: “Kichukue ukile,+ nacho kitafanya tumbo lako liwe na uchungu, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.” 10 Nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika nikakila,+ na kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali,+ lakini baada ya kukila, tumbo langu likawa na uchungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki