Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+

      Nisamehe kosa langu, ingawa ni kubwa.

  • Zaburi 79:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako tukufu;

      Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Yeremia 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ingawa makosa yetu yanatushtaki,

      Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako.+

      Kwa maana matendo yetu ya ukosefu wa uaminifu ni mengi,+

      Nasi tumekutendea dhambi.

  • Danieli 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova, sikia. Ee Yehova, samehe.+ Ee Yehova, sikiliza kwa makini na uchukue hatua. Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jiji lako na watu wako wameitwa kwa jina lako mwenyewe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki