Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ndiyo sababu nilisema: “Msinitazame,

      Nami nitalia kwa uchungu.+

      Msisisitize kunifariji

      Kwa sababu ya kuangamizwa kwa binti ya* watu wangu.+

  • Yeremia 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jamani maumivu yangu,* maumivu yangu!

      Ninahisi uchungu mwingi moyoni mwangu.*

      Moyo wangu unapigapiga ndani yangu.

      Siwezi kunyamaza,

      Kwa maana nimesikia* sauti ya pembe,

      King’ora cha vita.*+

  • Ezekieli 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Walipokuwa wakiwaua, nilibaki mimi peke yangu, nikaanguka kifudifudi na kupaza sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wote wanaobaki unapolimwagia ghadhabu yako jiji la Yerusalemu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki