Isaya 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndiyo sababu nilisema: “Msinitazame,Nami nitalia kwa uchungu.+ Msisisitize kunifarijiKwa sababu ya kuangamizwa kwa binti ya* watu wangu.+ Yeremia 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jamani maumivu yangu,* maumivu yangu! Ninahisi uchungu mwingi moyoni mwangu.* Moyo wangu unapigapiga ndani yangu. Siwezi kunyamaza,Kwa maana nimesikia* sauti ya pembe,King’ora cha vita.*+ Ezekieli 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walipokuwa wakiwaua, nilibaki mimi peke yangu, nikaanguka kifudifudi na kupaza sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wote wanaobaki unapolimwagia ghadhabu yako jiji la Yerusalemu?”+
4 Ndiyo sababu nilisema: “Msinitazame,Nami nitalia kwa uchungu.+ Msisisitize kunifarijiKwa sababu ya kuangamizwa kwa binti ya* watu wangu.+
19 Jamani maumivu yangu,* maumivu yangu! Ninahisi uchungu mwingi moyoni mwangu.* Moyo wangu unapigapiga ndani yangu. Siwezi kunyamaza,Kwa maana nimesikia* sauti ya pembe,King’ora cha vita.*+
8 Walipokuwa wakiwaua, nilibaki mimi peke yangu, nikaanguka kifudifudi na kupaza sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wote wanaobaki unapolimwagia ghadhabu yako jiji la Yerusalemu?”+