Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa jina la Mungu, akaendelea kuwa mkaidi* na mwenye moyo mgumu na kukataa kumgeukia Yehova Mungu wa Israeli.

  • Yeremia 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Lakini kuhusu tini mbaya ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa,+ Yehova anasema hivi: “Ndivyo nitakavyomwona Mfalme Sedekia+ wa Yuda, wakuu wake, wakaaji wa Yerusalemu waliobaki katika nchi hii, na wale wanaokaa nchini Misri.+

  • Yeremia 52:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna. 2 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, alitenda mambo yote ambayo Yehoyakimu alitenda.+

  • Ezekieli 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa hakika kama ninavyoishi, nitamletea juu ya kichwa chake madhara ya kudharau kiapo changu+ na kuvunja agano langu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki