30 Nitaharibu mahali penu patakatifu palipo juu+ na kuvikatakata vinara vyenu vya uvumba, nami nitarundika mizoga yenu juu ya mizoga ya sanamu zenu zenye kuchukiza,*+ nami nitawachukia na kuwaacha.+
37 Wamefanya uzinzi,*+ na mikono yao ina damu. Hawajafanya uzinzi tu na sanamu zao zinazochukiza, bali pia wamewateketeza* motoni wana wao walionizalia, kama chakula cha sanamu zao.+