Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitanyoosha kamba ya kupimia juu ya Yerusalemu,+ kamba iliyotumika kupima Samaria+ na kutumia timazi iliyotumiwa kupima nyumba ya Ahabu,+ nami nitalifuta kabisa Yerusalemu liwe safi kama mtu anavyofuta bakuli liwe safi, akilifuta na kulipindua.+

  • Yeremia 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli aliniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe uyanyweshe mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.

  • Danieli 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki