Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne njaa ilikuwa kali sana+ jijini, na watu waliokuwemo hawakuwa na chakula.+

  • Yeremia 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.

  • Maombolezo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Watu wake wote wanalia kwa uchungu; wanatafuta mkate.+

      Wamewapa vitu vyao vyenye thamani ili wapate kitu cha kula, angalau waendelee kuishi.*

      Tazama, Ee Yehova, uone kwamba nimekuwa kama mwanamke asiyefaa kitu.*

  • Maombolezo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Waliouawa kwa upanga ni afadhali kuliko waliokufa kwa njaa kali,+

      Wale wanaokonda, wanaochomwa kana kwamba kwa upanga kwa sababu ya kukosa chakula kutoka shambani.

  • Maombolezo 5:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tunapata chakula chetu* kwa kuhatarisha uhai wetu,*+ kwa sababu ya upanga wa nyikani.

      10 Ngozi yetu imekuwa moto kama tanuru, kwa sababu ya makali ya njaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki