2 Wafalme 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne njaa ilikuwa kali sana+ jijini, na watu waliokuwemo hawakuwa na chakula.+ Yeremia 37:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi. Maombolezo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Watu wake wote wanalia kwa uchungu; wanatafuta mkate.+ Wamewapa vitu vyao vyenye thamani ili wapate kitu cha kula, angalau waendelee kuishi.* Tazama, Ee Yehova, uone kwamba nimekuwa kama mwanamke asiyefaa kitu.* Maombolezo 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Waliouawa kwa upanga ni afadhali kuliko waliokufa kwa njaa kali,+Wale wanaokonda, wanaochomwa kana kwamba kwa upanga kwa sababu ya kukosa chakula kutoka shambani. Maombolezo 5:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tunapata chakula chetu* kwa kuhatarisha uhai wetu,*+ kwa sababu ya upanga wa nyikani. 10 Ngozi yetu imekuwa moto kama tanuru, kwa sababu ya makali ya njaa.+
3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne njaa ilikuwa kali sana+ jijini, na watu waliokuwemo hawakuwa na chakula.+
21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.
11 Watu wake wote wanalia kwa uchungu; wanatafuta mkate.+ Wamewapa vitu vyao vyenye thamani ili wapate kitu cha kula, angalau waendelee kuishi.* Tazama, Ee Yehova, uone kwamba nimekuwa kama mwanamke asiyefaa kitu.*
9 Waliouawa kwa upanga ni afadhali kuliko waliokufa kwa njaa kali,+Wale wanaokonda, wanaochomwa kana kwamba kwa upanga kwa sababu ya kukosa chakula kutoka shambani.
9 Tunapata chakula chetu* kwa kuhatarisha uhai wetu,*+ kwa sababu ya upanga wa nyikani. 10 Ngozi yetu imekuwa moto kama tanuru, kwa sababu ya makali ya njaa.+