Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:49, 50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Yehova ataleta dhidi yenu taifa la mbali,+ kutoka mwisho wa dunia; litawarukia kama tai,+ taifa ambalo hamtaelewa lugha yake,+ 50 taifa lenye uso mkali ambalo haliwajali wazee wala kuwahurumia vijana.+

  • 2 Wafalme 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Katika siku za utawala wa Yehoyakimu, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja kumshambulia, Yehoyakimu akawa mtumishi wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, alimgeuka na kumwasi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu. Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake.+ 6 Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alipanda kuja kumshambulia, akamfunga kwa pingu mbili za shaba na kumpeleka Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki