13 “Nikaendelea kuangalia katika maono ya usiku, na tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa akija na mawingu ya mbinguni; naye akaja mbele za Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu Naye.
22 mpaka Mzee wa Siku+ alipokuja na kuhukumu kwa faida ya watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi,+ na wakati uliowekwa ukafika wa watakatifu kuumiliki ufalme.+