Kutoka 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini nimekuacha uendelee kuishi kwa sababu hii hasa: ili nikuonyeshe nguvu zangu na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.+ Nehemia 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha ukafanya ishara na miujiza dhidi ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua waliwatendea kwa kimbelembele.+ Ukajijengea jina ambalo limedumu hadi leo hii.+ Zaburi 106:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mababu zetu kule Misri hawakuthamini* kazi zako zinazostaajabisha. Hawakukumbuka upendo wako mwingi mshikamanifu,Bali waliasi baharini, kando ya Bahari Nyekundu.+ 8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+
16 Lakini nimekuacha uendelee kuishi kwa sababu hii hasa: ili nikuonyeshe nguvu zangu na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.+
10 Kisha ukafanya ishara na miujiza dhidi ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua waliwatendea kwa kimbelembele.+ Ukajijengea jina ambalo limedumu hadi leo hii.+
7 Mababu zetu kule Misri hawakuthamini* kazi zako zinazostaajabisha. Hawakukumbuka upendo wako mwingi mshikamanifu,Bali waliasi baharini, kando ya Bahari Nyekundu.+ 8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+