Mwanzo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha,+ Tarshishi,+ Kitimu,+ na Dodanimu. Hesabu 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Meli zitatoka pwani ya Kitimu,+Zitashambulia Ashuru,+Na kushambulia Eberi. Lakini wao pia wataangamia* kabisa.” Isaya 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tangazo kuhusu Tiro:+ Ombolezeni kwa sauti, enyi meli za Tarshishi!+ Kwa maana bandari imeharibiwa; haiwezi kuingiwa. Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+ Yeremia 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za* Kitimu+ mwone. Naam, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa uangalifu;Mwone ikiwa jambo kama hili limewahi kutendeka. Ezekieli 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Walitengeneza makasia yako kutokana na mialoni ya Bashani, Na omo yako ilitengenezwa kwa mvinje na kupambwa ndani kwa pembe za tembo kutoka visiwa vya Kitimu.+
24 Meli zitatoka pwani ya Kitimu,+Zitashambulia Ashuru,+Na kushambulia Eberi. Lakini wao pia wataangamia* kabisa.”
23 Tangazo kuhusu Tiro:+ Ombolezeni kwa sauti, enyi meli za Tarshishi!+ Kwa maana bandari imeharibiwa; haiwezi kuingiwa. Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+
10 ‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za* Kitimu+ mwone. Naam, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa uangalifu;Mwone ikiwa jambo kama hili limewahi kutendeka.
6 Walitengeneza makasia yako kutokana na mialoni ya Bashani, Na omo yako ilitengenezwa kwa mvinje na kupambwa ndani kwa pembe za tembo kutoka visiwa vya Kitimu.+