Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha,+ Tarshishi,+ Kitimu,+ na Dodanimu.

  • Hesabu 24:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Meli zitatoka pwani ya Kitimu,+

      Zitashambulia Ashuru,+

      Na kushambulia Eberi.

      Lakini wao pia wataangamia* kabisa.”

  • Isaya 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tangazo kuhusu Tiro:+

      Ombolezeni kwa sauti, enyi meli za Tarshishi!+

      Kwa maana bandari imeharibiwa; haiwezi kuingiwa.

      Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+

  • Yeremia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za* Kitimu+ mwone.

      Naam, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa uangalifu;

      Mwone ikiwa jambo kama hili limewahi kutendeka.

  • Ezekieli 27:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Walitengeneza makasia yako kutokana na mialoni ya Bashani,

      Na omo yako ilitengenezwa kwa mvinje na kupambwa ndani kwa pembe za tembo kutoka visiwa vya Kitimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki