Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 18:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Hata hivyo, hawakuelewa maana ya mambo hayo, kwa sababu walikuwa wamefichwa maneno hayo, nao hawakuelewa mambo yaliyosemwa.

  • Matendo 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe.+

  • 1 Petro 1:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kuhusu wokovu huu, manabii waliotoa unabii kuhusu fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa kwa ajili yenu, walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu.+ 11 Waliendelea kuchunguza wakati hususa au majira ambayo roho iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi mapema kuhusu mateso ya Kristo+ na kuhusu utukufu ambao ungefuata.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki