Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku za utawala wa Mfalme Peka wa Israeli, Mfalme Tiglath-pileseri+ wa Ashuru alivamia na kuteka Iyoni, Abel-beth-maaka,+ Yanoa, Kedeshi, Hasori, Gileadi,+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawapeleka wakaaji wa maeneo hayo uhamishoni kule Ashuru.+

  • 2 Wafalme 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha mfalme wa Ashuru akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+

  • Yeremia 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Watu wa Israeli ni kondoo+ waliotawanyika. Simba wamewatawanya.+ Kwanza mfalme wa Ashuru aliwanyafua;+ kisha Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akaguguna mifupa yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki