14 Ndipo Amosi akamjibu hivi Amazia: “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii; bali nilikuwa mchungaji wa mifugo,+ nami nilitunza mitini ya mikuyu. 15 Lakini Yehova aliniondoa katika kazi ya kuchunga kundi, kisha Yehova akaniambia, ‘Nenda, toa unabii kwa watu wangu Waisraeli.’+