Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Waisraeli walikuwa wakifuatia mambo ambayo hayakuwa sawa machoni pa Yehova Mungu wao. Wakaendelea kujenga mahali pa juu katika majiji yao yote,+ kuanzia mnara wa walinzi mpaka jiji lenye ngome.* 10 Wakaendelea kujisimamishia nguzo takatifu na miti mitakatifu*+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi;+ 11 nao walikuwa wakifukiza moshi wa dhabihu mahali pote pa juu kama yalivyofanya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyapeleka uhamishoni kutoka mbele yao.+ Waliendelea kutenda maovu na kumkasirisha Yehova.

  • Ezekieli 23:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yule mkubwa aliitwa Ohola,* na dada yake Oholiba.* Wakawa wangu nao wakazaa wana na mabinti. Kuhusu majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.

      5 “Ohola akaanza kufanya ukahaba+ alipokuwa wangu. Aliwatamani kwa uchu wapenzi wake,+ majirani zake Waashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki