2 Wafalme 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Waliendelea kuacha amri zote za Yehova Mungu wao, nao wakatengeneza sanamu za chuma* za ndama wawili+ na kutengeneza mti mtakatifu,*+ nao wakaliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kumwabudu Baali.+ Hosea 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kadiri walivyowaita,*Ndivyo walivyoenda mbali nao.+ Waliendelea kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali+Na kutoa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+
16 Waliendelea kuacha amri zote za Yehova Mungu wao, nao wakatengeneza sanamu za chuma* za ndama wawili+ na kutengeneza mti mtakatifu,*+ nao wakaliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kumwabudu Baali.+
2 Kadiri walivyowaita,*Ndivyo walivyoenda mbali nao.+ Waliendelea kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali+Na kutoa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+