Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo ni vurugu;+

      Yeyote anayepotoshwa navyo hana hekima.+

  • Methali 23:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Usiitazame rangi nyekundu ya divai

      Inapong’aa katika kikombe na kushuka taratibu,

  • Methali 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Macho yako yataona mambo ya ajabu,

      Na moyo wako utasema mambo yaliyopotoka.+

  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na hawa pia wanapotea njia kwa sababu ya divai;

      Wanapepesuka kwa sababu ya vileo vyao.

      Kuhani na nabii wanapotea njia kwa sababu ya kileo;

      Divai inawavuruga,

      Nao wanapepesuka kwa sababu ya kileo chao;

      Maono yao yanawafanya wapotee njia,

      Nao wanajikwaa wanapohukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki