Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+

      Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+

  • Mathayo 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Mara tu baada ya dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ mwezi hautatoa nuru yake, nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbingu zitatikiswa.+

  • Luka 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Pia, kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota,+ na duniani mataifa yatakuwa na maumivu makali bila kujua cha kufanya kwa sababu ya mngurumo na msukosuko wa bahari.

  • Ufunuo 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akalifungua shimo refu lisilo na mwisho,* na moshi ukapanda kutoka katika lile shimo kama moshi wa tanuru kubwa, na jua likatiwa giza,+ pia hewa, kwa moshi wa lile shimo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki