Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 62:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu:

      “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,

      Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+

       9 Lakini wale wanaoikusanya wataila nao watamsifu Yehova;

      Na wale wanaoikusanya watainywa katika nyua zangu takatifu.”+

  • Amosi 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Tazameni! Siku zinakuja,’ asema Yehova,

      ‘Wakati ambapo mtu anayelima kwa plau atampita anayevuna,

      Na anayekanyaga zabibu atampita anayepanda mbegu;+

      Na milima itadondosha divai tamu,+

      Na vilima vyote vitatiririka divai.*+

  • Malaki 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Leteni ghalani sehemu yote ya* kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ tafadhali, nijaribuni kwa njia hii,” asema Yehova wa majeshi, “mwone kama sitawafungulia malango ya mbinguni ya mafuriko+ na kuwamwagia baraka hivi kwamba hamtakosa chochote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki