26 “‘“Nami nitafanya agano la amani pamoja nao;+ litakuwa agano la milele pamoja nao. Nitawaimarisha na kuwafanya wawe wengi+ na kupaweka mahali pangu patakatifu miongoni mwao milele. 27 Hema langu litakuwa pamoja nao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.+