Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+

      Naye atawahurumia* watumishi wake+

      Atakapoona nguvu zao zimeisha,

      Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.

  • Zaburi 106:44, 45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+

      Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+

      45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,

      Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+

  • Hosea 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+

      Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu?

      Kwa nini niwatendee kama Adma?

      Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+

      Moyo wangu umebadilika;

      Na pia nimechochewa kuwahurumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki