Hosea 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+ Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+ Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ Na vilima, ‘Tuangukieni!’+ Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.* Amosi 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria+ na kusema,“Kwa hakika kama mungu wako anavyoishi, Ee Dani!”+ Na, “Kwa hakika kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Wataanguka, na hawatainuka tena.’”+
8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+ Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+ Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ Na vilima, ‘Tuangukieni!’+
5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*
14 Wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria+ na kusema,“Kwa hakika kama mungu wako anavyoishi, Ee Dani!”+ Na, “Kwa hakika kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Wataanguka, na hawatainuka tena.’”+