Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Akawajibu: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi* kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya nabii Yona.+ 40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa katika tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyokuwa katika moyo wa ardhi siku tatu mchana na usiku.+

  • Mathayo 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kizazi kiovu na chenye uzinzi* kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote+ isipokuwa ishara ya Yona.”+ Ndipo akawaacha, akaenda zake.

  • Luka 11:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Umati ulipozidi kuongezeka, akaanza kusema: “Kizazi hiki ni kiovu; kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.+ 30 Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa ishara kwa Waninawi, ndivyo Mwana wa binadamu atakavyokuwa kwa kizazi hiki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki